Recent Post

Friday, March 20, 2015

WASANII WENYE PESA ZAIDI AFRICA YA MASHARIKI



Mwimbaji gani wa Afrika Mashariki kanunua hii Audi? pichaz na video akiliendesha ziko hapa

Audi 1Mastaa wa Afrika Mashariki wanaotajwa kuwa na magari ya kifahari ni wachache akiwemo Jaguar wa Kenya ambae ana Range Rover pamoja na Jaguar yenyewe.
Mmiliki mwingine wa headline hizi kwa kitambo ni Jose Chameleone ambae amechukua headline kwenye awamu hii tena kwa kumiliki gari aina ya Audi ambazo zimekua zikitengenezwa na Mjerumani toka miaka hiyo ya 1932.
JChameleone 1

Email Newsletter



Smiley :)
:D
:)
:[
;)
:D
:O
(6)
(A)
:'(
:|
:o)
8)
(K)
(M)

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Like Us

Contact Form

Name

Email *

Message *