Recent Post

Saturday, March 28, 2015

UNAPESA WEWE? ANGALIA SEHEMU ZA KUTEMBELEA HAPA!!!!



Saint Vincent and the Grenadines, ni nchi ambayo ni kisiwa karibu na Barbados kwa kina Rihanna, kwa sasa kipo pia kwenye muungano wa Eastern Caribbean States
Saint Vincent and the Grenadines, ni nchi ambayo ni kisiwa karibu na Barbados kwa kina Rihanna, kwa sasa kipo pia kwenye muungano wa mataifa ya mashariki mwa Caribbean.
Hii ni kwa mujibu wa CNN ambao wamefanya collection ya sehemu hizi zenye mvuto na historia ya kipekee kwenye dunia tuliyomo lakini utajiuliza pia sehemu kama Zanzibar ambayo tunaamini ni kituo kingine kikubwa cha utalii kilichojaa kumbukumbu za kutosha, hakipo kwenye hii list.
t3
Island in Saint Helena, Ascension and Tristan da Cunha
t1
Kisiwa cha Crete kipo Ugiriki ambacho ni namba 5 katika list ya visiwa vikubwa vya bahari ya Mediterranean.
t2
Managua, Nicaragua
t5
Reyðarfjörður ni mji ambao upo kwenye kisiwa ambako ni ndani ya nchi ya Iceland.
t6
Victoria Falls Zimbabwe/Zambia, wanasema September 2015 kuna uwanja wa ndege wa kimataifa utafunguliwa kwenye mpaka wa Zambia na Zimbabwe ili hii sehemu iwe rahisi kufika.
t7
Hapa ni Antarctica
t8
Sehemu nyingine kwenye hii list ni Cuba
t9
Gozo (Malta) ipo kwenye list na unaambiwa sehemu hii inatarajia ugeni mkubwa wa Watalii baada ya movie mpya ya Angelina Jolie ‘By the sea’ kutoka baadae mwaka huu, ni kisiwa kipo bahari ya Mediterranean kwenye nchi ya Malta ndani ya kusini mwa bara la Ulaya.
t10
Solden Austria.
Baada ya kuiona hii list, unahisi ni sehemu gani ilibidi ziwepo kwenye hii list au kuongezwa?


http://monewstz.blogspot.com

Email Newsletter



Smiley :)
:D
:)
:[
;)
:D
:O
(6)
(A)
:'(
:|
:o)
8)
(K)
(M)

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Like Us

Contact Form

Name

Email *

Message *