Recent Post

Tuesday, March 31, 2015

JAY-Z ALIEKUWA AMEFULIA SASA AELEKEA KUKAMATA LINE ISOME HAPA



Pichaz: Madonna, Nicki Minaj,Rihanna, Beyonce, Alicia Keys,Usher, Kanye West kwenye uzinduzi wa Tidal ya Jay Z

14Jay ameamua kuendelea kuonyesha ni jinsi gani amewekeza katika himaya ya burudani duniani baada ya jana kuzindua kampuni yake mpya ya muziki inayojulika kwa jina la Tidal ambayo sasa atakuwa akinunua kazi za wasanii wengine na kuziuza kupitia kampuni hiyo.
20Hivi karibuni Taylor Swift aliingia mkataba na Jay Z ambapo aliamua kuuza nyimbo zake zote.
19Raper huyo katika uzinduzi huo uliofanyika New York aliamua kuwashirikisha wasanii wakubwa wenye ushawishi mkubwa katika sekta ya muziki duniani ambao ndio waanzilishi katika kampuni hiyo.
18Wasanii hao ni pamoja na  Alicia Keys, Arcade Fire’s Win Butler na Régine Chassagne, Beyoncé, Daft Punk, Jack White, Jason Aldean, J. Cole, Kanye West, Deadmau5, Madonna, Nicki Minaj, Rihanna, Calvin Harris, Chris Martin na Usher.
16Alicia Keys ambaye alikuwa mgeni rasmi alisema kwa ufupi kuwa lengo la kuungana ni kuhakikisha wanshirikiana kaika sauti moja na kuhakikisha wanaleta mapinduzi katika historia ya muziki kwa manufaa ya mashabiki na wasanii kwa ujumla.
15
14
11
nane
saba
sita
tano
nne
tatu
moja
usher

JAY-Z ALIEKUA AMEFULIA KWA KUNUNU KAMPUNI HIYO KWA GHARAMA KUBWASANA  SASA AMEWEZA KUWASHAWISHI WASANII HAO NA HATIMAYE ANARUDI KUKAMATA LINE KIMKWANJA

Email Newsletter



Smiley :)
:D
:)
:[
;)
:D
:O
(6)
(A)
:'(
:|
:o)
8)
(K)
(M)

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Like Us

Contact Form

Name

Email *

Message *