PAMOJA NA UMAARUFU BADO NI HADHI KUWA MAMA!!! TAZAMA WATU HAWA MAARUFU WAKIJIVUNIA KUUJAZA ULIMWENGU.
  Siku ya leo kwenye peruzi na kudadisi inaonaneka kwa wasichana maarufu  wengi hapa bongo wanahofia kuwa mama (kubeba mimba na kujifungua), labda kutoka na kuishi sana maisha ya kimaigizo kiasi wana ingia kwenye  mahusiano na watu wakimaigizo igizo kiasi cha kuwatisha wenyewe  kuwazalia watoto!! au ni kuhofia kupoteza mvuto katika tasnia hiyo  anayofanyia kazi!!, Hii haipo hivyo katika nchi zilizoendelea tazama  baadhi ya watu maarufu huko marekani waliokubali kubeba mimba na  kujivunia hilo jambo mbele ya majarida makubwa kwa kuweka picha zao  wakiwa watupu kabisa!!.
 BEYONCE 
Kourtney Kardashian
Kelly Rowland
Alicia Keys
Britney Spears
Christina Aguilera
Mariah Carey
MoNews 




















 

No comments:
Post a Comment