Recent Post

Friday, March 27, 2015

WANASEMA WAO NI WANAWAKE WEWE JE?



PAMOJA NA UMAARUFU BADO NI HADHI KUWA MAMA!!! TAZAMA WATU HAWA MAARUFU WAKIJIVUNIA KUUJAZA ULIMWENGU.
    

Siku ya leo kwenye peruzi na kudadisi inaonaneka kwa wasichana maarufu wengi hapa bongo wanahofia kuwa mama (kubeba mimba na kujifungua), labda kutoka na kuishi sana maisha ya kimaigizo kiasi wana ingia kwenye mahusiano na watu wakimaigizo igizo kiasi cha kuwatisha wenyewe kuwazalia watoto!! au ni kuhofia kupoteza mvuto katika tasnia hiyo anayofanyia kazi!!, Hii haipo hivyo katika nchi zilizoendelea tazama baadhi ya watu maarufu huko marekani waliokubali kubeba mimba na kujivunia hilo jambo mbele ya majarida makubwa kwa kuweka picha zao wakiwa watupu kabisa!!.

BEYONCE

Kourtney Kardashian

 

Kelly Rowland

 

Alicia Keys

 

Britney Spears

 

Christina Aguilera

 

Mariah Carey

 

 

MoNews

Email Newsletter



Smiley :)
:D
:)
:[
;)
:D
:O
(6)
(A)
:'(
:|
:o)
8)
(K)
(M)

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Like Us

Contact Form

Name

Email *

Message *