Recent Post

Wednesday, March 25, 2015

MAJAMBAZI WAKIZUNGU WAINGIA CHOO CHA KIKE DAR!!!!!



MAJAMBAZI WAKIZUNGU WAWILI KUTOKA ITALI WAKIONA CHA MOTO KWA KUPIGWA NA RISASI


 SEHEMU YA KITI ALIPOKAA NA KUPIGWA RISASI,
Habari zinasema kuwa polisi mkoani dar es salaam jana mchana walifanikiwa kuwatia mbaroni majambazi wawili ambao inasemekana ni raia wa italia baada ya kupora kiasi cha dola elfu kumi kwa mwananchi ndipo polisi walipoanza mapambano nao na hadi kuwatia nguvuni baada ya luwadhibiti na risasi.

 WAKIWA NJE YA APARTMENT YAO WALIKOKIMBILIA
 GARI WALIYOTUMIA KUPORA



 POLISI WAKIWATIA KWENYE GARI MARA BAADA YA KUWATIA NGUVUNI
 AKIONYESHA KOVU ALILOPIGWA RISASI
 WAKIPANDISHWA KWENYE GARI WOTE WAWILI



Email Newsletter



Smiley :)
:D
:)
:[
;)
:D
:O
(6)
(A)
:'(
:|
:o)
8)
(K)
(M)

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Like Us

Contact Form

Name

Email *

Message *