NDOA YA JINSIA MOJA SASA NI RUKSA BILA UBISHI ,TENA KANISANI
KANISA la Presbyterian nchini Marekani ambalo lina wanachama milioni  mbili, limebadilisha sheria yake ya ndoa na kuwajumuisha watu wa jinsia  moja.
 Kanisa hilo ambalo linashirikisha idadi kubwa ya wanachama wake duniani  lilitoa tangazo hilo baada ya idadi kubwa ya magavana wa majimbo yake  171 kuidhinisha mabadiliko hayo.
Kanisa hilo ambalo linashirikisha idadi kubwa ya wanachama wake duniani  lilitoa tangazo hilo baada ya idadi kubwa ya magavana wa majimbo yake  171 kuidhinisha mabadiliko hayo.
Sheria yake mpya sasa itasoma kwamba ndoa ni makubaliano ya kipekee kati ya watu wawili ikilinganishwa na makubaliano kati ya mume na mke.
 Sheria hiyo iliyoidhinishwa na baraza kuu la kanisa hilo mwaka uliopita ilikubaliwa na zaidi ya nusu ya majimbo ya kanisa hilo.
Sheria hiyo iliyoidhinishwa na baraza kuu la kanisa hilo mwaka uliopita ilikubaliwa na zaidi ya nusu ya majimbo ya kanisa hilo.
Uamuzi huo unatarajiwa kuzua mgawanyiko mkubwa kati ya wanachama wa kanisa hilo ambao wanapinga sheria hiyo.
 Mwaka jana baraza kuu la kanisa hilo lilitoa idhini kwa wachungaji wake  kuwafungisha ndoa wapenzi wa jinsia moja katika majimbo ambayo ndoa hizo zinaruhusiwa.
Mwaka jana baraza kuu la kanisa hilo lilitoa idhini kwa wachungaji wake  kuwafungisha ndoa wapenzi wa jinsia moja katika majimbo ambayo ndoa hizo zinaruhusiwa.

 Kanisa hilo ambalo linashirikisha idadi kubwa ya wanachama wake duniani  lilitoa tangazo hilo baada ya idadi kubwa ya magavana wa majimbo yake  171 kuidhinisha mabadiliko hayo.
Kanisa hilo ambalo linashirikisha idadi kubwa ya wanachama wake duniani  lilitoa tangazo hilo baada ya idadi kubwa ya magavana wa majimbo yake  171 kuidhinisha mabadiliko hayo.Sheria yake mpya sasa itasoma kwamba ndoa ni makubaliano ya kipekee kati ya watu wawili ikilinganishwa na makubaliano kati ya mume na mke.
 Sheria hiyo iliyoidhinishwa na baraza kuu la kanisa hilo mwaka uliopita ilikubaliwa na zaidi ya nusu ya majimbo ya kanisa hilo.
Sheria hiyo iliyoidhinishwa na baraza kuu la kanisa hilo mwaka uliopita ilikubaliwa na zaidi ya nusu ya majimbo ya kanisa hilo.Uamuzi huo unatarajiwa kuzua mgawanyiko mkubwa kati ya wanachama wa kanisa hilo ambao wanapinga sheria hiyo.
 Mwaka jana baraza kuu la kanisa hilo lilitoa idhini kwa wachungaji wake  kuwafungisha ndoa wapenzi wa jinsia moja katika majimbo ambayo ndoa hizo zinaruhusiwa.
Mwaka jana baraza kuu la kanisa hilo lilitoa idhini kwa wachungaji wake  kuwafungisha ndoa wapenzi wa jinsia moja katika majimbo ambayo ndoa hizo zinaruhusiwa.














 

No comments:
Post a Comment