Recent Post

Friday, March 20, 2015

Mwandishi wa kitabu cha Mtemi Mirambo, Juma Nature kugombea Ubunge?



Mwandishi wa kitabu cha Mtemi Mirambo, Juma Nature kugombea Ubunge? na Ruby kaanza biashara? #255

Sky WeezyZilizosikika kwenye 255 leo ipo inayomhusu Fredrick Bundala ambae amekuja na kitabu kinachozungumzia maisha ya Mtemi Mirambo wa Tabora, akizungumzia kitabu hicho amesema ni  idea  iliyozoeleka nchi za nje na baada ya kupitia mitandao akagundua Audio box  kwenye soko ni kitu kikubwa sana na anapenda sana kusimulia matukio kama alivyowahi kufanya katika documentary kuhusu Mv Bukoba akaona anauweza kufanya kitu kwa kusimulia na watu wakakipenda akatengezena kitabu katika mfumo wa sauiti (Audio Box) kinachoitwa Mtemi Mirambo (Sultani Mkuu wa Afrika)
natureBaadhi ya wasanii wameonekana kuhamia kwenye siasa kama Mr Two, Prof. Jay, Afande Sele na wengine msanii Juma Nature amesema alikuwa amepanga kufanya hivyo na watu walimfata ila mwa mkwa huu ameona asigombee, kama angegombea Ubunge Temeke angepita ila kwa sasa amewaachia wasanii wenzake, ikitokea akawa Mbunge jambo la kwanza kufanya kwa wanachi wake ni barabara ya Mbagala, Hospitali pamoja na Soko na ataingia chama chochote atakachoona kinamsingi mzuri.
Ruby-1Wasanii wengi wa Bongo Flava wameendelea kujiingiza kwenye biashara, 255 leo imepiga story na msanii Ruby ambae amesema anapenda kuwa designer, anatarajia kuja na kitu kinachoitwa ‘Kilemba cha Ruby’ ambayo inahusuana na mambo ya fashion, idea ambayo imekuja kutokana na kupenda kudesigne vilemba toka akiwa mdogo ingawa kipaji chake kikubwa ni kuimba.

Email Newsletter



Smiley :)
:D
:)
:[
;)
:D
:O
(6)
(A)
:'(
:|
:o)
8)
(K)
(M)

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Like Us

Contact Form

Name

Email *

Message *