Recent Post

Thursday, March 19, 2015

MAN CITY YAFUKUZA WACHEZAJI soma zaidi hapa



Man City kuwaondoa wachezaji hawa kwenye kikosi chake msimu huu.

yayaKipigo cha Manchester City dhidi ya Barcelona  cha bao 1-0 huenda ikiwa moja ya sababu ya kocha mkuu wa timu hiyo Manuel Pellegrini kuamua kuwaondoa katika orodha yake baadhi ya wachezaji wa kikosi chake akiwemo Yaya Toure.
Mabingwa hao wa ligi ya Uingereza wamepanga kuwauza baadhi ya nyota wake msimu huu akiwemo Yaya Toure, Gale Clichy, Pablo Zabaleta,Jesus Navas, Fernandinho, Steven Jovetic na Edin Dzeko.
Man City alishindwa kutinga hatua ya robo fainali dhidi ya Barcelona katika mechi ya kombe la klabu bingwa Ulaya na kocha wake amethibitisha kwamba mabadiliko makubwa yatafanyika ndani ya klabu hiyo.

Email Newsletter



Smiley :)
:D
:)
:[
;)
:D
:O
(6)
(A)
:'(
:|
:o)
8)
(K)
(M)

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Like Us

Contact Form

Name

Email *

Message *