Majaji Uingereza kwenye Headlines… Ishu ni video za ngono !!

Majaji watatu Uingereza wamefukuzwa kazi baada ya kukutwa na hatia ya kutumia mtandao na Computer za ofisi ya Mahakama kuangalia video za ngono.
Msimamizi wa idara ya Mahakama amesema kuwa Majaji hao, Timothy Bowles, Warren Grant na Peter Bullock walitumia Computer za ofisi kuangalia video za ngono, ni kinyume na taratibu na maadili ya ofisi ya Umma.
Hivi mfano ikifanywa utafiti Bongo kuonesha watu ambao wako maofisini na wanaangalia hizi picha na video unadhani matokeo yake yatakuwaje mtu wangu? Nasubiri kuona utakachoniandikia.
MoNews ndo mpango mzima
No comments:
Post a Comment