Recent Post

Wednesday, March 18, 2015



Majaji Uingereza kwenye Headlines… Ishu ni video za ngono !!

judgesChina ni nchi ambayo imekuwa ikitajwa kuwa na taratibu na Sheria ambazo zinabana sana kuzagaa kwa picha na video za ngono mitandaoni na hata kuuza mitaani, hata namna ambavyo wameweka ulinzi mkubwa kwenye system za mitandao, ni ngumu sana kwa mtu kusambaza picha au video hizo ndani ya China.
Majaji watatu Uingereza wamefukuzwa kazi baada ya kukutwa na hatia ya kutumia mtandao na Computer za ofisi ya Mahakama kuangalia video za ngono.
Msimamizi wa idara ya Mahakama amesema kuwa Majaji hao, Timothy Bowles, Warren Grant na Peter Bullock walitumia Computer za ofisi kuangalia video za ngono, ni kinyume na taratibu na maadili ya ofisi ya Umma.
Hivi mfano ikifanywa utafiti Bongo kuonesha watu ambao wako maofisini na wanaangalia hizi picha na video unadhani  matokeo yake yatakuwaje mtu wangu? Nasubiri kuona utakachoniandikia.
 
MoNews ndo mpango mzima

Email Newsletter



Smiley :)
:D
:)
:[
;)
:D
:O
(6)
(A)
:'(
:|
:o)
8)
(K)
(M)

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Like Us

Contact Form

Name

Email *

Message *