Recent Post

Friday, March 20, 2015

JE UNAJUA KUWA QATAR WANAANDAA KOMBE LA DUNIA 2022? CHEKI WALIVYOJIPANGA



Hali ya hewa ya Qatar na uamuzi wa FIFA kuhusu World Cup 2022

The World CupShirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) limethibitisha tarehe ya kufanyika kwa fainali za michuano ya kimataifa ya Kombe la Dunia ambazo  zitakazofanyika nchini Qatar.
FIFA imeweka hadharani tarehe ya fainali hizo wakati wa kikao chake jana huko Zurich, Switzerland ambapo itakuwa Desemba 18, 2022 huku ikisisitiza tarehe hiyo lakini Uingereza wameanza kulalamika wakidai ratiba hiyo mpya itavuruga ratiba ya ligi yao.
Kawaida kombe la dunia hufanyika kati ya mwezi June na July lakini hali ya hewa ya Qatar imesababisha kubadilishwa kwa ratiba hiyo.
Qatar

Email Newsletter



Smiley :)
:D
:)
:[
;)
:D
:O
(6)
(A)
:'(
:|
:o)
8)
(K)
(M)

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Like Us

Contact Form

Name

Email *

Message *