KI DENT CHA UDOM CHAMPAGAWISHA BEN POL,MAMBO HADHARANI KWENYE UKUMBI WA MATEI LOUNGE
Amini usiamini msichana huyu ambaye ni Dent mzuka ulimpanda na kuamaua kumkamata kisawasawa Ben Pol tena kwa hisia kali ambapo kama ingekuwa ni chobingo usingevumilia, Hiyo ilitokea jana kwenye Usiku wa Sophia ndani ya Matei lounge Dodoma
baada ya zoezi kumalizika ben ikabidi ampongeze Dent hiyo
No comments:
Post a Comment