Matokeo ya Arsenal vs West Ham yasikupite, yako hapa!!

Klabu hiyo iliyopo chini ya Arsene Wenger iliishinda West Ham kwa jumla ya mabao 3-0 na kuimarisha ndoto yake katika nafasi nne bora kwenye msimamo wa ligi ya Uingereza.
The Gunners ilitawala mechi hiyo huku Olivier Giroud akifunga bao la kwanzadk45 kabla ya kipindi cha kwanza kukamilika.
No comments:
Post a Comment