ALIYEKUWA KOCHA MSAIDIZI WA TAIFA STARS AFARIKI DUNIA
                                                    Posted by MoNews on March 16, 2015 at 2045pm
                
                
                    

Aliye kuwa kocha wa zamani wa timu ya Taifa Star Sylvester Marsh amefariki dunia juzi katika Hospitali ya Muhimbili ambapo alikuwa akisumbuliwa na maradhi ya Saratani ya koo kwa muda mrefu
 Sylvester
 enzi za uhai wake alishawahi kufanya kazi kakita timu tofauti tofauti 
ikiwemo timu ya Toto Africa Mwanza,Kagera Suger ,Azam FC ya Dar Es 
Salaam na Taifa Stars Mungu ailaze Roho ya marehemu mahali pema peponi 
Amen
Sylvester
 enzi za uhai wake alishawahi kufanya kazi kakita timu tofauti tofauti 
ikiwemo timu ya Toto Africa Mwanza,Kagera Suger ,Azam FC ya Dar Es 
Salaam na Taifa Stars Mungu ailaze Roho ya marehemu mahali pema peponi 
Amen












 

No comments:
Post a Comment