By:  
Unknown
on 7:38 PM
Share
Yasikupite matokeo ya Arsenal vs Hull City
 Ligi kuu ya England inakaribia kufikia tamati na jana Arsenal imeaonyesha nia ya kutaka kumaliza ligi hiyo ikiwa katika nafasi tatu za juu baada ya jana kucheza na Hull City.
Ligi kuu ya England inakaribia kufikia tamati na jana Arsenal imeaonyesha nia ya kutaka kumaliza ligi hiyo ikiwa katika nafasi tatu za juu baada ya jana kucheza na Hull City.
Katika mchezo huo  ambao Arsenal walionekana kuwadhibiti vyema wapinzani wao waliibuka na ushindi wa mabao 3-1, mabao ambayo yalifungwa na Alexis Sanchezamefunga mabao mawili, huku Aaron Ramsey akapachika moja na kuisaidia Arsenalkuibuka na ushindi  huo dhidi ya wapinzani wao Hull City.
Kwa ushindi huo, Arsenal imeendelea kubaki katika nafasi ya tatu, ikiwa na pointi 70 sawa na Man City katika nafasi ya pili na imebakiwa na mchezo mmoja mkononi.
















 

No comments:
Post a Comment