Recent Post

Friday, April 3, 2015

Meneja wa Mkito ANASEMA NINI KUHUSU WASANII KUFAIDIK NA BIASHARA YAO MITANDAONI......



Meneja wa Mkito kuhusu mziki kuuzwa online na msikie Stan Bakora

H21April 02, ni siku ya Usonji duniani yani watoto wanaozaliwa hadi kufikisha miaka miwili lakini wanashindwa kuongea, mtangazaji Emmanuel Likuda amesema ameamua kujitolea kuwa balozi wa watoto wenye matatizo ya usonji, ambapo atafanya mambo mbalimbali ili kuhamasisha na kupeleka uelewa kwa watu kuhusu tatizo hilo kutokana na uelewa kuwa mdogo ambapo atafanya tamasha Tar 30, April Escape One.
IMG_4522Jana kwenye 255, msanii Darasa alisema haoni faida yoyote ya kufanya biashara ya kuuza mziki online akiongea kwenye 255, digital Meneja wa Mkito Ismail, ambao wanafanya kazi na Darasa amesema ili msanii apate mafao lazima awe na data base mzuri ya Social Network , kwasababu kipato kinategemea watu wanaofungua link ya wimbo wake na msanii anatakiwa afanye jitihada za kujitangaza mwenyewe na kuwataja Fid Q na John Makini kuwahi kufanya vizuri kwenye mauzo.
STANMchekeshaji Stan Bakora amekuwa akimuigiza mwanamziki Nay Wa Mitego jinsi anavyoongea, amesema kuna siku walienda kwenye show Nay akamtanguliza watu hawakujua kama sio Nay kutoka na kushindwa kuwatofautisha sauti zao na anapenda kumuigiza kwasababu ya kupenda kazi zake.

Email Newsletter



Smiley :)
:D
:)
:[
;)
:D
:O
(6)
(A)
:'(
:|
:o)
8)
(K)
(M)

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Like Us

Contact Form

Name

Email *

Message *