ORODHA YA WANAWAKE WALIOFANIIWA KUPAGAWISHA WANAUME WENGI ZAIDI DUNIANI
Anautajiri wa dola milioni $250 ,jinsi gani alipata hu utajiri,?? Nikutokana na uigizaji wake, Mfanyabiashara na kazi yake ya uimbaji. J-lo ni mwanada maaraufu mwenye maumbile makubwa ya makalio, ambayo yanafanya ashikile nafasi ya kwanza kwenye orodha ya wanawake maarufu Hollywood. Inarepotiwa kuwa mataka yake ameya weka bima ya dola milioni $27. Anapenda kujivunia kuonyesha assets yake hiyo kwenye magazines cover ya Stuff magazine mwaka 2001. Ambalo ni moja ya magazine iliyoweka histori ya rekodi ya gazeti lilouza kuliko. Kiukweli hilo ---- limegharimu maelfu ya dola na sio chini ya hapo. ------ mengine ya nakuja na kuondoka lakini kwa Jlo atatumia kila kitu kulinda ---- lake. Lol
2. Kim Kardashian.
Anautajiri wa dola milioni $35, jinsi alivyo upata huo utajiri, ?? utajiriwake umetokana , umodel, uigizaji, mwanamkemfanyabiashara, Television Personality, na socialite. Anachukuwa nafasi ya pili kuwa ni mwanamke mwenye ---- kubwa Hollywood, nalilionekana sana kwenye s*x tape ambayo alikuwa nimmoja ya maboyfriend wake maarafu sana. Naalishazushiwa kuwa ------ yake ni yakutengeza lakini yeye alikataa akasema no way its real.
3. Beyonce.
Anamiliki utajiri wa dola milioni $300 milioni. Jinsi gani alivyotengeneza utajiri?? Dada huyu anaingiza pesa zake kwa kuwa muandishi mzuri wa nyimbo, rekodi Producer, muigizaji, umodel, mvumbuzi wa mavazi, na ni mfanyabiashara. Anajiita ¡°b**t-y-l-i-c-i-o-u-s¡± . Nahuyu anachukua nafasi ya 3 kwa kuwa na ------ makubwa Hollywood
4. Serena Williams
Anautajiri wa dola miliobi $85, nautajiri wake unatokana na uchezaji wa Tennis as Professional. Na nimaarufu kwa kwa kuwa na ---- kubwa kwenye tennis, lakini kutoka kwa serena mwnyewe anasema kuna mwanamke mwenye ------ makubwa kuliko yangu huko nje nikisimama nae ni aibu tu.
5. Nicki Minaj
Anautajiri wa dola milioni $14 ambao umetokana na uandishi wa mistari yake na rapa, mwanadada huyo anapenda sana kuongelea kuhusu ---- kila wakati, hata kwenye interview iliotokea New York post Nicki Minaj alikuwa anaongela kuhusu ruma za utengezaji wa ------ yake. ¡°absolutely not¡± said Nicki Minaj alipokuwa anaulizwa kuhusu ------ ya kutengeneza , ¡°people will pick anything to talk about , and that happens to be the thing at the moment¡¯¡¯. Alisema Nicki Minaj.
No comments:
Post a Comment