MCHUNGAJI GWAJIMA AJISALIMISHA POLISI KUHOJIWA JUU YA LUGHA CHAFU DHIDI YA ASKOFU PENGO

Mchungaji Gwajima anatuhumiwa kumkashifu na kumtukana hadharani Kardinali Pengo.
Hata hivyo, mapema leo Asubuhi, kipande cha sauti ya Gwajima kilisambaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii kikidai kuwa Gwajima angejisalimisha Polisi Jumatatu kwa kuwa kwa sasa yupo Arusha na kuwataka waumini wake kufika polisi Jumatatu bila kufanya vurugu.
Haijafahamika mara moja sababu zilizomfanya mchungaji huyo Kujisalimisha leo Ijumaa.
No comments:
Post a Comment