Recent Post

Friday, March 27, 2015

HIZI ZA BEYONCE ZILIZOPO STUDIO



Hii ndio akiba ya ngoma za Beyonce zilizoko studio mpaka sasa!!

ivyUnaweza kuamini kwamba kama Beyonce akiamua kufanya album moja kila mwaka, halafu hiyo ikiwa na nyimbo 10 kila moja, ana uwezo wa kukaa miaka 10 kuanzia sasa bila kutoa album nyingine yoyote?
‘Xscape’ ni jina la album ya Marehemu Michael Jackson iliyoachiwa mwaka 2014, huu ni mfano wa jinsi ambavyo mastaa wa muziki wakubwa duniani huwa wanarekodi na kuhifadhi nyimbo zao studio, hiyo album ya Michael imeandaliwa wakati yeye ameshafariki.
xscape
Beyonce nae anaamini kwamba akiba haiozi, anahitaji kuuona muziki wake ukiishi muda mrefu, ukurasa huu unakusogezea hii story kwamba Producer wa muziki wa huyu dada, ambaye ni The Dream amesema kuwa akiba ya nyimbo za Beyonce ambazo ziko studio hajazitoa ni zaidi ya 100.
.
The Dream
Album ya mwisho Bey kuiachia ilikuwa 2013 iliyopewa jina la ‘Beyonce‘, ambapo hiyo ni album yake ya tano.
bey
Beyonce.


Email Newsletter



Smiley :)
:D
:)
:[
;)
:D
:O
(6)
(A)
:'(
:|
:o)
8)
(K)
(M)

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Like Us

Contact Form

Name

Email *

Message *