ALIYEKUWA KOCHA MSAIDIZI WA TAIFA STARS AFARIKI DUNIA
Posted by MoNews on March 16, 2015 at 2045pm
Aliye kuwa kocha wa zamani wa timu ya Taifa Star Sylvester Marsh amefariki dunia juzi katika Hospitali ya Muhimbili ambapo alikuwa akisumbuliwa na maradhi ya Saratani ya koo kwa muda mrefu
No comments:
Post a Comment