List ya wakali wote walioteuliwa KILI MUSIC AWARDS 2015 iko hapa tayari..
Baada ya kuipitia nimeona majina ya mastaa walioongoza kwa kuteuliwa kwenye vipengele vingi zaidi, wa kwanza ni Ali Kiba ambae yuko kwenye vipengele sita, Diamond pia yupo kwenye vipengele sita na Jux ambae yuko kwenye vipengele vinne
No comments:
Post a Comment