Sahau kuhusu Dar!! CNN wanasema haya ni majiji 10 yenye foleni kubwa ya magari duniani.
Najua Dar es salaam ipo kwenye hesabu ya majiji yenye foleni Afrika Mashariki lakini fahamu tu Dar haipo kwenye list ya majiji yenye foleni kubwa sana wakati wa jioni duniani.
Pamoja na kwamba Dar es salaam inaweza kukuchelewesha kwenye foleni kwa zaidi ya mpaka dakika 60 kufikia saa kadhaa kulingana na umbali wa safari yako, hesabu hii ya utafiti inaonyesha pia baadhi ya miji ambayo inaucheleweshaji mdogo kuliko Dar na baadhi ya comments za watu zimekua za ukosoaji wa ripoti yenyewe kwamba haiko sawa.

Saint Petersburg ni mji mwingine wa Russia kwenye hii list, unaambiwa kwa mwaka hawa jamaa hupoteza saa 110 kwenye foleni.

Mexico City Mexico wamechukua namba nne ambapo wanasema foleni yake huifanya safari kuwa kati ya dakika 30 mpaka 58.
No comments:
Post a Comment