Recent Post

Wednesday, April 1, 2015

HU ULIKUA MJENGO WA Bondia Mike Tyson LEO SIO LAKE TENA SOMA ZAIDI



Huu ulikuwa mjengo wa Bondia Mike Tyson.. Ipo taarifa nyingine kuhusu mjengo huu

tysonMiaka ya tisini bondia wa ngumi za uzito wa juu duniani Mike Tyson alikuwa akimiliki Jumba la kifahari katika eneo la Southington, Ohio nchini Marekani.
Muonekano wa jumba hilo pamoja na kujengwa na kunakshiwa kifahari na kutumia fedha nyingi, kwa sasa limekuwa likionekana kama gofu.
Tyson alilazimika kuliuza jumba hilo mwaka 1999 kwa kitita cha pauni milioni 1.3 baada ya kukumbwa na kashfa ya ubakaji na sasa litabadilishwa na kuwa kanisa.
tyson
tyson2
tyson3
tyson4
tyson5
tyson6
tyson7
tyson8
tyson9

Email Newsletter



Smiley :)
:D
:)
:[
;)
:D
:O
(6)
(A)
:'(
:|
:o)
8)
(K)
(M)

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Like Us

Contact Form

Name

Email *

Message *